Libertino

From Wikipedia, the free encyclopedia

Libertino
Remove ads

Libertino (alifariki Triocala, Sicilia, Italia, karne ya 3) alikuwa askofu wa Agrigento ambaye anahesabiwa kuwa wa kwanza[1].

Thumb
Mt. Libertino alivyochorwa.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 3 Novemba[2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads