Lotari wa Seez
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Lotari wa Seez (pia: Lother, Lotharie au Lohier; 685 - 15 Juni 756) alikuwa askofu wa 16 wa Seez, katika Ufaransa wa leo, hadi alipoamua kwenda kuishi upwekeni[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads