Lucas Onyango
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Lucas Onyango (amezaliwa mnamo 12 Mei 1981) ni mchezaji wa ligi ya raga kutoka Kenya anayeichezea klabu ya Uingereza ya Oldham Roughyeds. Alikuwa mchezaji wa raga wa kitambo wa timu ya taifa ya raga ya Kenya. Yeye ni mchezaji mwenye kasi sana na yeye ni wing'a wakati anacheza.
Nchini Kenya, yeye aliichezea Mean Machine RFC, timu ya Kombe la Kenya ambayo iko chini ya Chuo Kikuu cha Nairobi. Aliichezea timu ya raga ya wachezaji saba kila upande ya Kenya katika Michezo ya Jumuiya ya Madola mwaka wa 2002 na baadaye yeye alijiunga na Manchester RFC. Alihamia klabu ya ligi raga ya Widnes Waviking mwaka wa 2005.
Dada yake, Sharon Onyango, ameichezea timu ya muungano wa raga ya kitaifa ya wanawake ya Kenya[1]
Remove ads
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads