Lukresia wa Merida

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Lukresia wa Merida (alifariki Merida, Hispania, 304 hivi) alikuwa mwanamke anayeheshimiwa na Wakristo wa madhehebu mbalimbali kama mtakatifu mwenye sifa ya mfiadini[1][2].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 23 Novemba[3].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads