Machame Magharibi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Machame Magharibi ni kata ya Wilaya ya Hai katika Mkoa wa Kilimanjaro, Tanzania.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 4,827 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 6,503 [2] walioishi humo.

Msimbo wa posta ni 25308.

Kati ya vijiji vya Machame Magharibi kuna kijiji cha Nronga ambako mwandishi Elieshi Lema alizaliwa mwaka 1949.[3]

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads