Maftaha Abdallah Nachuma

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Maftaha Abdallah Nachuma ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CUF. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Mtwara Mjini kwa miaka 20152020. [1] Maftaha Nachuma amesoma shahada ya kwanza kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Shahada ya pili ya uzamili kutoka Chuo Kikuu Huria cha Tanzania mwaka 2015.

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads