Magomeni (Dar es Salaam)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Magomeni ni kata ya Wilaya ya Kinondoni katika Mkoa wa Dar es Salaam, Tanzania yenye postikodi namba 14101.

Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Kwa matumizi mengine ya jina hili tazama hapa

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 15,241 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2002, kata ina wakazi wapatao 22,616 waishio humo.[2]

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads