Magret Bays
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Magret Bays (kwa Kifaransa: Marguerite; Sivierez, Fribourg, Uswisi, 8 Septemba 1815 – Sivierez, 27 Juni 1879), alikuwa mshonaji wa Uswisi.

Alijiunga na Utawa wa Tatu wa Mt. Fransisko na kutekeleza karama yake katika maisha ya nyumbani akijitosa kwa nguvu zote kusaidia wahitaji bila kuacha sala[1].
Mwaka 1854 alijikuta ana madonda mwilini kama yale ya Yesu msulubiwa. Pia alipata njozi.
Alitangazwa na Papa Yohane Paulo II kuwa mwenye heri tarehe 29 Oktoba 1995, halafu Papa Fransisko alimtangaza mtakatifu tarehe 13 Oktoba 2019.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads