Magret Bays

From Wikipedia, the free encyclopedia

Magret Bays
Remove ads

Magret Bays (kwa Kifaransa: Marguerite; Sivierez, Fribourg, Uswisi, 8 Septemba 1815 – Sivierez, 27 Juni 1879), alikuwa mshonaji wa Uswisi.

Thumb
Mt. Magret Bays.

Alijiunga na Utawa wa Tatu wa Mt. Fransisko na kutekeleza karama yake katika maisha ya nyumbani akijitosa kwa nguvu zote kusaidia wahitaji bila kuacha sala[1].

Mwaka 1854 alijikuta ana madonda mwilini kama yale ya Yesu msulubiwa. Pia alipata njozi.

Alitangazwa na Papa Yohane Paulo II kuwa mwenye heri tarehe 29 Oktoba 1995, halafu Papa Fransisko alimtangaza mtakatifu tarehe 13 Oktoba 2019.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 27 Juni[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads