Maktaba (uhandisi wa programu)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Maktaba (kwa Kiingereza: library) katika utarakilishi ni mkusanyo wa taratibu au class zinazotumiwa kwa kutengeneza programu za kompyuta.

Inaonekana kama istilahi ya maktaba ya utaratibu ilitumiwa mara ya kwanza na Wilkes M.V., Wheeler D.J., Gill S. kwa sura ya umbile la mkokotoo kwenye kompyuta[1]. Kufuatana na yaliyomo katika kitabu chao, maktaba ni seti ya programu fupi iliyotengenezwa mapema kwa kauli kadhaa za mkokotoo zinazokutwa mara nyingi[2].

Remove ads

Tanbihi

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads