Malamata
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Malamata (Setaria verticillata) ni spishi ya nyasi katika nusufamilia Panicoideae. Asili ya nyasi hili ni Ulaya lakini sasa imewasilishwa au imesamba katika mabara yote mengine isipokuwa Antakitiki. Ni gugu baya na imeanza kupinga viuamimea. Visuke vina nywele zenye kulabu ndogo zinazorahisisha usambazaji wa mbegu zake kwa manyoya ya wanyama na siku hizi kwa nguo za watu.
Spishi nyingine ya Setaria ni aina ya nafaka: mwele-kichaa (S. italica).
Remove ads
Viungo vya nje
- Taarifa kutoka PROTA Ilihifadhiwa 5 Machi 2016 kwenye Wayback Machine.
Picha
- Maua
- Visuke
- Masuke yaliyokauka
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads