Malamata

From Wikipedia, the free encyclopedia

Malamata
Remove ads

Malamata (Setaria verticillata) ni spishi ya nyasi katika nusufamilia Panicoideae. Asili ya nyasi hili ni Ulaya lakini sasa imewasilishwa au imesamba katika mabara yote mengine isipokuwa Antakitiki. Ni gugu baya na imeanza kupinga viuamimea. Visuke vina nywele zenye kulabu ndogo zinazorahisisha usambazaji wa mbegu zake kwa manyoya ya wanyama na siku hizi kwa nguo za watu.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...

Spishi nyingine ya Setaria ni aina ya nafaka: mwele-kichaa (S. italica).

Remove ads

Viungo vya nje

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads