Manzese

From Wikipedia, the free encyclopedia

Manzese
Remove ads

Manzese ni kata ya Wilaya ya Ubungo katika Mkoa wa Dar es Salaam, Tanzania, yenye postikodi namba 16108.

Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Thumb
Majumba na maduka ya Manzese karibu na kituo cha mabasi cha Tip Top, Juni 2019.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 52,251 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 70,507 wanaoishi humo humo[2]

Remove ads

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads