Maria Guo Lizhi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Maria Guo Lizhi
Remove ads

Maria Guo Lizhi (Hujiache, 1835 hivi - Hujiache, 7 Julai 1900) alikuwa mwanamke wa China aliyefia Ukristo wakati wa Uasi wa Mabondia baada ya kutegemeza jamaa zake 7 kufia imani yao[1].

Thumb
Wafiadini Wakatoliki wa China.

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.

Sikukuu yao huadhimishwa kwa pamoja kila mwaka tarehe 9 Julai, lakini ya kwake mwenyewe tarehe 7 Julai[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads