Maria Wang Lizhi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Maria Wang Lizhi
Remove ads

Maria Wang Lizhi (Fancun, 1851 hivi - Daning, 22 Julai 1900) alikuwa mwanamke wa China aliyefia Ukristo wakati wa Uasi wa Mabondia.

Thumb
Wafiadini Wakatoliki wa China.

Baadhi ya Wapagani walijaribu kumuokoa kwa kusema si Mkristo, lakini mwenyewe alijitangaza wazi kuwa mtumishi wa Yesu Kristo na kwa sababu hiyo akauawa mara [1].

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 9 Julai, lakini ya kwake mwenyewe tarehe 22 Julai[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads