Matamba

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Matamba ni kata ya Wilaya ya Makete katika Mkoa wa Njombe, Tanzania. Msimbo wa posta ni 59510.

Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi wa kata walihesabiwa kuwa 7,505 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 10,441 [2] walioishi humo.

Matamba ni makao makuu ya dayosisi ya kusini magharibi ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania.

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads