Matamshi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Matamshi
Remove ads

Matamshi (kutoka kitenzi "kutamka") ni namna au jinsi watu wanasema hali halisi maneno ya lugha fulani, ambayo inaweza kuwa tofauti na namna ya kuandika neno. Utafiti wa utamshi au utamkaji ni kazi ya somo la fonetiki, tawi mojawapo la isimu.

Thumb
Sehemu zinazohusika na matamshi.

Matamshi yanaweza kutofautiana kati ya eneo na eneo, na hata kati ya mtu na mtu kulingana na alikoishi utotoni, makazi yake ya sasa, shida katika kutoa sauti[1], kabila, dini, tabaka la kijamii, elimu[2] n.k.

Pengine tofauti hizo husababisha lahaja.

Remove ads

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads