Maungamo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Maungamo
Remove ads

Maungamo (kwa Kilatini: Confessiones kwa Kiingereza: Confessions[1]) ni habari za maisha ya Augustino wa Hippo zilizoandikwa naye mwenyewe kwa Kilatini kati ya miaka 397 na 400.[2]

Thumb
Maungamo ya Mt. Augustino wa Hippo.

Ni mfululizo wa vitabu 13 anamosimulia historia yake, hasa ujana wake wenye dhambi na uongofu wake kwa Ukristo wa Kanisa Katoliki uliokuwa dini ya mama yake, Monika. Ndani yake, Augustino anaungama sifa za Mungu na ukosefu wake, akiangaza teolojia na maisha ya kiroho. Baada ya vitabu hivyo, Augustino aliishi tena miaka 30.

Maungamo ni kati ya vitabu maarufu zaidi vya Augustino na wa lugha ya Kilatini [3].

Remove ads

Muhtasari kwa Kiswahili

  • M. CULLEN, O.S.A., Maungamo ya Mtakatifu Augustino kwa Muhtasari – tafsiri ya E. Msigala, O.S.A. - ed. Benedictine Publications Ndanda Peramiho – Ndanda – ISBN 9976-63-643-1

Matoleo ya Kiingereza

  • The Confessions of St. Augustine, transl. Edward Bouverie Pusey, 1909.
  • St. Augustine (1960). The Confessions of St. Augustine. transl., introd. & notes, John K. Ryan. New York: Image Books. ISBN 0-385-02955-1.
  • Maria Boulding, Saint Augustine: The Confessions, Hyde Park NY: New City Press (The Works of Saint Augustine I/1), 2002 ISBN 1-56548154-2
  • F. J. Sheed, Confessions, ed. Michael P. Foley. 2nd ed., Hackett Publishing Co., 2006. ISBN 0-8722081-68
  • Carolyn Hammond, Augustine: Confessions Vol. I Books 1–8, MA: Harvard University Press (Loeb Classical Library), 2014. ISBN 0-67499685-2
  • Carolyn Hammond, Augustine: Confessions Vol. II Books 9–13, MA: Harvard University Press (Loeb Classical Library), 2016. ISBN 0-67499693-3
  • Sarah Ruden, Augustine: Confessions, Modern Library (Penguin Random House), 2018. ISBN 978-0-81298648-8
Remove ads

Tanbihi

Vyanzo

Marejeo mengine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads