Mauro mfiadini

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Mauro mfiadini (alifariki 283 hivi) alikuwa Mkristo wa Moroko ya leo aliyehamia Roma na kufia dini yake wakati wa dhuluma ya kaisari Numerian.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 22 Novemba[1].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads