Mbarouk Salim Ali

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Mbarouk Salim Ali (amezaliwa 20 Juni 1962) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Civic United Front (CUF). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Wete kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads