Mbarouk Salim Ali
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mbarouk Salim Ali (amezaliwa 20 Juni 1962) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Civic United Front (CUF). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Wete kwa miaka 2015 – 2020. [1]
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads