Mbono

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mbono
Remove ads

Mbono au mbono kaburi (Jatropha curcas) ni mti au kichaka ambacho makokwa yake, yanayoitwa mabono, yatoa mafuta yanayofaa. Mafuta haya hutumika kutengenezea mafuta ya kikaboni (biodiesel au petroli kutoka mimea).

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...

Kuna vichaka vingine ambavyo huitwa mbono pia, k.m.:

Remove ads

Picha

Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mbono kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads