Mdumange

nyimbo zinazoibwa na kuzwezwa na watu wa mkoa wa Tanga nchini Tanzania From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Mdumange ni moja ya ngoma za asili ya mkoa wa Tanga, Tanzania. Ngoma hiyo asili yake ni Usambaa na huchezwa sana na kabila la Wasambaa.[1]

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads