Messina

From Wikipedia, the free encyclopedia

Messina
Remove ads

Messina ni mji wa Italia katika mkoa wa Sisilia. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2009, mji una wakazi wapatao 250,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo mita 3 kutoka juu ya usawa wa bahari. Ina bandari muhimu.

Thumb
Mji wa Messina
Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Remove ads

Tazama pia

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads