Methali
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Methali (kutoka neno la Kiarabu مثل mathal) ni usemi mfupi wa mapokeo wenye mpangilio maalumu wa maneno unaodokeza kwa muhtasari fikra au mafunzo mazito yatokanayo na uzoefu wa maisha ya jamii husika.
Ni kauli fupi yenye pande mbili za fikra, ambazo upande wa kwanza huanza upande wa pili humaliza. Kwa mfano: Mficha ugonjwa, kifo humuumbua. Mcheza kwao hutunzwa. Haraka haraka haina baraka. Mkono mtupu haulambwi. Mkamia maji hayanywi.
Kila taifa na kila kabila lina methali zake. Biblia, kwa mfano, inakusanya nyingi kati ya zile za Israeli katika kitabu maalumu, mbali ya nyingine kupatikana katika vitabu vingine, hasa vile vya hekima.
Remove ads
Methali za Kiswahili
Baadhi ya methali za Kiswahili ni kama:
Remove ads
Viungo vya nje (Methali za Kiswahili)
- http://www.mwambao.com/methali.htm
- http://kiswahili.de/modules.php?name=SwahiliProverbs
- http://mwanasimba.free.fr/E_methali_01.htm Ilihifadhiwa 23 Oktoba 2009 kwenye Wayback Machine.
- http://www.angelfire.com/yt/chibilamsane/methali.html
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Methali kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads