Metras

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Metras (aliuawa 249) alikuwa mfiadini Mkristo wa Aleksandria (Misri) ambaye kwa kukataa kutamka maneno yasiyofaa aliuawa kwa kupigwa mawe wakati wa dhuluma ya kaisari Decius [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 31 Januari[2][3].

Pengine wanatajwa kama wafiadini wenzake Saturnini, Tirso, Vikta, Tarsisi, Zotiko na Siriaki[4].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads