Nematodi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Nematodi
Remove ads

Nematodi au minyoo-kuru ni faila ya minyoo ambayo ni kati ya faila zenye spishi nyingi katika himaya ya wanyama.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...

Kutofautisha na kuainisha nematodi ni kazi ngumu. Hadi sasa spishi 80,000 zimeelezwa kitaalamu. Kuna makadirio ya kwamba idadi ya spishi hizo inaweza kufikia nusu milioni. Nematodi wengi ni minyoo midogo myeupe au bila rangi wanayoishi katika mazingira mabichi.

Kati ya nematodi wanaojulikana takriban spishi 15,000 ni za kiparasiti (vimelea) yaani wanaishi ndani ya viumbe wengine. Spishi kadhaa husababisha maradhi mbalimbali ya binadamu. [1]

Mlolongo wa DNA katika uchambuzi wa nematodi umepiga hatua sana, ikiwa ni pamoja na uhusiano na spishi za miti.

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads