Mshale
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mshale (wingi: mishale) ni ala ya vita au silaha ndogo ifananayo na mkuki inayorushwa kwa upinde.

Kwa maelfu ya miaka, watu duniani kote wamewahi kutumia upinde na mishale kwa uwindaji na kwa ajili ya ulinzi.
Historia
Ushahidi wa kale kabisa wa mshale wenye kichwa cha jiwe ulipatikana Mapango ya Sibudu nchini Afrika Kusini. [1]. Mshale huo unaaminika kuwa ulitumika miaka 64,000 iliyopita.
Ushahidi wa kale kabisa wa matumizi ya upinde kurusha mshale ni wa miaka 10.000 uliopatikana Bonde la Ahrensburg kaskazini mwa mji wa Hamburg, nchini Ujerumani.[2]
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads