Mshale

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Mshale (wingi: mishale) ni ala ya vita au silaha ndogo ifananayo na mkuki inayorushwa kwa upinde.

Thumb
Mishale.

Kwa maelfu ya miaka, watu duniani kote wamewahi kutumia upinde na mishale kwa uwindaji na kwa ajili ya ulinzi.

Historia

Ushahidi wa kale kabisa wa mshale wenye kichwa cha jiwe ulipatikana Mapango ya Sibudu nchini Afrika Kusini. [1]. Mshale huo unaaminika kuwa ulitumika miaka 64,000 iliyopita.

Ushahidi wa kale kabisa wa matumizi ya upinde kurusha mshale ni wa miaka 10.000 uliopatikana Bonde la Ahrensburg kaskazini mwa mji wa Hamburg, nchini Ujerumani.[2]

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads