Elimu ya visasili

From Wikipedia, the free encyclopedia

Elimu ya visasili
Remove ads

Elimu ya visasili (au mithiolojia, Kiing. mythology, kutoka neno la Kigiriki μυθολογία, mithologia, linaloundwa na μῦθος, mithos, "kisasili" na λογία, logia, "elimu") inahusu utafiti juu ya visasili vya makabila mbalimbali ili kuelewa utamaduni wao.

Thumb
Prometheus: mchoro huu wa mwaka 1868 wa Gustave Moreau unamuonyesha amefungwa na kuteseka kwa kosa la kuwapa binadamu moto kama kiumbe chake, inavyosimuliwa na visasili na fasihi ya Kigiriki.

Jinsi visasili vilivyoanza haijulikani vizuri, lakini vimekuwa vimechunguzwa tangu kale, kwa mfano huko China na Ugiriki wa Kale.

Juhudi kubwa zaidi za kuzilinganisha zilifanywa kuanzia karne ya 19 kwa mitazamo tofauti, chanya au hasi.

Remove ads

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads