Mkoa wa Adamawa

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Mkoa wa Adamawa ni mmojawapo kati ya mikoa ya Kamerun. Jina lenyewe linadokeza mahali pake nchini, kwenye Adamawa Plateau, katikati ya nchi.

Mkoa huo una wakazi 1,200,095 (kadirio la mwaka 2015[1]) katika eneo la Km² 63,701.

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads