Mkoa wa Adana

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mkoa wa Adana
Remove ads

Mkoa wa Adana ni jina la mkoa nchini Uturuki, lenye kilomita za mraba zipatazo 14.030. Upo kwenye kanda ya Mediteranea kusini mwa Uturuki. Mikoa iliyokaribiana na mjini hapa ni pamoja na Mersin kwa upande wa magharibi, Hatay kwa upande wa kusini-mashariki, Osmaniye kwa upande wa mashariki, Kahramanmaraş kwa upande wa kaskazini-mashariki, Kayseri kwa upande wa kaskazini, na Niğde kwa upande wa kaskazini-magharibi. Mji wake mkuu ni Adana.

Ukweli wa haraka Maeneo ya Mkoa wa Adana nchini Uturuki, Maelezo ...
Remove ads

Wilaya za mkoani hapa

Adana imegawanyika katika wilaya 13:

Viungo vya Nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Adana kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads