Adana

From Wikipedia, the free encyclopedia

Adana
Remove ads

Adana (kwa Kigiriki: Άδανα) ni mji wa Uturuki. Huu ndio mji mkuu wa Mkoa wa Adana.

Ukweli wa haraka Nchi, Kanda ...
Thumb
Mko wa Adana

Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2000, mji una wakazi wapatao 1,130,710 waishio huko,[2] na kuufanya kuwa mmoja kati ya miji mitano mikubwa katika nchi ya Uturuki (baada ya Istanbul, Ankara, İzmir na Bursa). Mwaka wa 2006 mji wa Adana umekadiriwa kufikia iadadi ya wakazi wapatao 1,271,894.

Remove ads

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads