Mkoa wa Afyonkarahisar
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Afyonkarahisar (pia unaitwa kwa kifupi Afyon) ni jina la mkoa wa mjini magharibi mwa nchi ya Uturuki.
Mikoa inayopakana karibu na hapa ni pamoja na Kütahya kwa upande wa kaskazini-magharibi, Uşak kwa upande wa magharibi, Denizli kwa upande wa kusini-magharibi, Burdur kwa upande wa kusini, Isparta kwa upande wa kusini-mashariki, Konya kwa upande wa mashariki, na Eskişehir kwa upande wa kaskazini. Mji mkuu wa mkoani hapa ni Afyonkarahisar. Mkoa unachukua eneo la kilomita za mraba zipatazo 14.230, na idadi ya wakazi takriban 828,231 (makadirio ya sensa ya mwaka wa 2006).
Remove ads
Wilaya
Mkoa wa Afyonkarahisar limegawanyika katika wilaya 18 (mji mkuu umewekewa koze):
Viungo vya Nje
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Afyonkarahisar kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads