Mkoa wa Bubanza

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mkoa wa Bubanza
Remove ads

Mkoa wa Bubanza ni moja kati ya mikoa ya Burundi. Jumla ya wakazi ilikuwa 354,000 mwaka 2007. Eneo lake ni la 1,089 km².

Thumb
Mahali pa Mkoa wa Bubanza katika Burundi

Mji mkuu ni Bubanza.

Tazama pia


Maelezo zaidi Mikoa ya Burundi ...
Makala hii kuhusu maeneo ya Burundi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Bubanza kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads