Mkoa wa Bursa
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Bursa ni jina la mkoa uliopo mjini magharibi mwa nchi ya Uturuki. Mkoa upo kwenye kanda ya Bahari ya Marmara. Mikoa inayopakana na hapa ni pamoja na Balıkesir kwa upande wa magharibi, Kütahya kwa kupande wa kusini, Bilecik na Sakarya kwa upande wa mashariki, Kocaeli kwa upande wa kaskazini-mashariki na Yalova kwa upande wa kaskazini. Mkoa una eneo la kilomita za mraba zipatazo 11,043 na jumla ya wakazi wapatao 2,413,971 wanaoishi mkoani hapa (makadirio ya 2006).
Remove ads
Wilaya za mkoani hapa
Mkoa wa Bursa umegawanyika katika wilaya 17 (mji mkuu umekoozeshwa):
Viungo vya Nje
- (Kiingereza) Pictures of the capital of this province
- (Kiingereza) Bursa Weather Forecast Information Ilihifadhiwa 30 Oktoba 2008 kwenye Wayback Machine.
- (Kituruki) Bursa city sport portal, Bursa
- (Kituruki) Gokoz Village, Bursa Ilihifadhiwa 2 Januari 2007 kwenye Wayback Machine.
- (Kituruki) Golyaka Village - orhangazi pictures and information, Bursa Ilihifadhiwa 16 Juni 2021 kwenye Wayback Machine.
- (Kiingereza) Bursa travel & tourism
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Bursa kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads