Mkoa wa Fatick
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mkoa wa Fatick ni mkoa mmojawapo nchini Senegal. Makao makuu yako mjini Fatick . Eneo la mkoa ni kilomita za mraba 6,849. Wakati wa sensa ya mwaka 2013 mkoa ulikuwa na wakazi 835,352.[1]


Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads