Mikoa ya Senegal

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mikoa ya Senegal
Remove ads

Mikoa ya Senegal ni ngazi ya kwanza ya ugatuzi nchini Senegal katika Afrika ya Magharibi. Senegal imegawanywa katika mikoa 14 (kwa Kifaransa: régions). Kila mkoa unasimamiwa na halmashauri yake (Conseil Régional) ambayo wajumbe wake wanachaguliwa na wananchi kwenye ngazi ya tarafa.

Thumb
Mikoa ya Senegal

Ngazi ya pili ya ugatuzi ni wilaya (departements) 45, tarafa (arrondissements) 103 (ambazo hazina kazi ya kiutawala) na maeneo ya jumuiya za kieneo (collectivités locales) ambazo huchagua maafisa wa utawala.

Orodha ifuatayo inaonyesha mikoa ya Senegal pamoja na idadi ya wakazi kufuatana na sensa ya mwaka 2013.[1]

Maelezo zaidi Mkoa, Makao makuu ...
Thumb
Jengo la Halmashauri ya Mkoa huko Ziguinchor. Mikoa huwa na madaraka ya kikatiba nchini Senegal, tofauti na wilaya na tarafa.
Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads