Mkoa wa Kaolack
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mkoa wa Kaolack ni mkoa mmojawapo nchini Senegal. Makao makuu yako mjini Kaolack. Eneo la mkoa ni kilomita za mraba 5,357. Wakati wa sensa ya mwaka 2013 mkoa ulikuwa na wakazi 960,875[1]


Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads