Mkoa wa Kivu Kaskazini
jimbo la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mkoa wa Kivu Kaskazini ni mmojawapo kati ya mikoa 26 ya kujitawala ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Idadi ya wakazi wake ni takriban 12,024,400 (2025).
Remove ads
Jiografia

Wilaya ya Kivu Kaskazini, iliyo kando ya ikweta, inajumuisha latitudo kutoka 0° 58' kaskazini hadi 2° 03' kusini na longitudo kutoka 27° 14' magharibi hadi 29° 58' mashariki.[1]
Wilaya
Mkoa umegawanywa katika wilaya 6:
Picha
- Goma
- Mtiririko wa zaha karibu na Goma
- Masisi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads