Mkoa wa Kusini, Kamerun

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Mkoa wa Kusini, Kamerun ni mmojawapo kati ya mikoa ya Kamerun. Jina lenyewe linadokeza mahali pake nchini, mpakani mwa Guinea ya Ikweta, Gabon na Jamhuri ya Kongo.

Mkoa huo una wakazi 749,552 (kadirio la mwaka 2015[1]) katika eneo la Km² 47,191.

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads