Mkoa wa Trabzon
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Trabzon ni jina la mkoa uliopo katika pwani ya Bahari Nyeusi huko nchini Uturuki. Upo kwenye kanda muhimu kabisa, Trabzon ni moja kati ya bandari ya kibiashara ya zamani zamani sana katika miji ya Anatolia. Idadi ya wakazi wa hapa ni 1,061,055 (makadirio ya 2006). Mikoa ya jirani pamoja na Giresun kwa upande wa magharibi, Gümüşhane kwa upande kusini-magharibi, Bayburt kwa upande wa kusini-mashariki na Rize kwa upande mashariki mwa nchi. Mji mkuu wake ni Trabzon. Mkoa huu ndiyo nyumbani kwa jumuiya ndogo ya Wagiriki Wakiislamu wanaongea lugha ya Kipontiki [1].
Remove ads
Wilaya za mkoani hapa
Trabzon province is divided into 18 districts (capital district in bold):
Historia
Historia ya wakazi
- 2000 - 979,081
- 1997 - 858,687
- 1990 - 795,849
- 1985 - 786,194
- 1980 - 731,045
- 1975 - 719,008
- 1970 - 659,120
- 1965 - 595,782
- 1960 - 532,999
- 1955 - 462,249
- 1950 - 420,279
- 1945 - 395,733
- 1940 - 390,733
- 1935 - 360,679
- 1927 - 290,303
Marejeo
Viungo vya Nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads