Mkokotoni

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Mkokotoni ni kata ya Wilaya ya Unguja Kaskazini 'A' katika Mkoa wa Kaskazini Unguja, Tanzania.

Katika sensa iliyofanyika mwaka 2022 wakazi walihesabika kuwa 5,999 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2002, kata ilikuwa na wakazi wapatao 2,388 waishio humo. [2]

Historia

Kulikuwa mahali pa makazi ya Waswahili wa kale katika pwani ya Bahari ya Hindi.

Tazama pia

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads