Mkufu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mkufu
Remove ads

Mkufu ni mapambo yanayovaliwa na watu shingoni. Hutengenezwa mara nyingi kwa metali au kwa kufunga vito, vipande vya kioo cha rangi au lulu kwenye uzi.

Thumb
Wamaasai hupenda mikufu
Thumb
Wanawake Wajerumani wa karne ya 16


Mikufu ilivaliwa tangu kale ni kati ya mapambo ya kanza yaliyogunduliwa na wanaakiolojia.

Kuna desturi kati ya wafuasi wa dini mbalimbali kufunga alama ya dini yao kwenye mkufu, kwa mfano msalaba kwa wakristo, hilali kwa Waislamu au nyota ya Daudi kwa Wayahudi.

Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads