Mlima Athos
mlima kaskazini mashariki mwa Ugiriki From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mlima Athos unapatikana katika rasi ya Athos iliyopo katika Ugiriki Kaskazini Mashariki na tangu kale (walau mwaka 800) ni mahali pa monasteri za kiume za Kanisa la Kiorthodoksi.

Mlima huo, wenye urefu wa mita 2033 juu ya usawa wa bahari, umeorodheshwa na UNESCO kama Urithi wa Dunia mwaka 1988.[1]

Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads