Mlima Gessi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mlima Gessi uko katika safu ya milima ya Ruwenzori, kwenye mpaka wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Uganda (Afrika).

Mlima huo ulipata jina lake kutoka kwa Mwitalia Romolo Gessi (1831 - 1881) aliyekuwa mtafiti wa chanzo cha mto Nile.[1][2]
Kilele cha juu cha Mlima Gessi ni Lolanda (mita 4,715 juu ya usawa wa bahari), halafu Bottego (mita 4699).[2]
Remove ads
Tazama pia
- Orodha ya milima
- Orodha ya milima ya Afrika
- Orodha ya milima ya Uganda
- Orodha ya milima ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads