Mlima Kimhandu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Mlima Kimhandu (au Kimhondu) ni mmoja katika Milima ya Uluguru, safu ya milima katika Tanzania mashariki, km 200 hivi kutoka Bahari ya Hindi. Ni sehemu ya Milima ya Tao la Mashariki (pamoja na Milima ya Taita nchini Kenya, Milima ya Upare, Milima ya Usambara, Milima ya Unguu, Milima ya Rubeho, Milima ya Ukaguru, Milima ya Udzungwa, Milima ya Uvidunda na Milima ya Mahenge).

Thumb
Mandhari ya milima ya Uluguru.

Pamoja na mlima Mtingire ni mrefu kuliko yoke, ukiwa na kimo cha mita 2650 juu ya usawa wa bahari[1].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads