Milima ya Uluguru

From Wikipedia, the free encyclopedia

Milima ya Ulugurumap
Remove ads

Milima ya Uluguru ni safu ya milima katika Tanzania mashariki, km 200 hivi kutoka Bahari ya Hindi. Ni sehemu ya Milima ya Tao la Mashariki (pamoja na Milima ya Taita nchini Kenya, Milima ya Upare, Milima ya Usambara, Milima ya Unguu, Milima ya Rubeho, Milima ya Ukaguru, Milima ya Udzungwa, Milima ya Uvidunda na Milima ya Mahenge).

Thumb
Mashamba ya katani nje kidogo ya Morogoro. Milima ya Uluguru inaweza kuonekana nyuma
milima uluguru
Thumb
Mandhari ya milima ya Uluguru.
Thumb
Mlima wa Uluguru nyuma ya Morogoro.
Thumb
Chemchemi karibu na Kinole.
Thumb
Mashamba ya katani karibu na mji wa Morogoro. Milima ya Uluguru inaonekana kwa nyuma.

Jina limetokana na lile la kabila la Waluguru ambao ndio wenyeji wa eneo hilo.[1] Wakazi wote wa milimani huko ni 151,000.

Milima ya Uluguru ni makazi pekee ya spishi zaidi ya 100 ya mimea, 2 za ndege, 2 za mamalia, 4 za reptilia na 6 za amphibia.

Miinuko ya juu zaidi ni mlima Mtingire na mlima Kimhandu, yote miwili inafikia kimo cha mita 2650 juu ya usawa wa bahari[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads