Mali (uchumi)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mali (uchumi)
Remove ads

Mali (kutoka neno la Kiarabu) katika uchumi linamaanisha chochote kile chenye thamani kilicho chini ya mamlaka ya mtu, kikundi, taasisi au umma kama mmiliki wake[1][2] .

Thumb
Majengo na magari ni kati ya mali ya kawaida siku hizi.

Pia ni bidhaa alizonunua mfanyabiashara kwa lengo la kuziuza tena.

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads