Mono

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Mono (pia: Mon, Monon, Muno; 600 hivi - 645) alikuwa Mkristo wa Funguvisiwa la Britania (Uskoti au Eire) aliyeishi kama mkaapweke nchini Ubelgiji, karibu na Nassogne, hadi alipouawa na majambazi wa jirani waliosumbuliwa na umati wa watu waliomtembelea kwa kuvutiwa na utakatifu wake [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 18 Oktoba[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads