Morelos

From Wikipedia, the free encyclopedia

Morelos
Remove ads

Morelos ni moja kati ya majimbo 31 ya Mexiko upande wa kati ya nchi. Mji mkuu na mji mkubwa ni Cuernavaca. Morelos ni jimbo dogo wa pili la Mexiko.

Thumb
Cuernavaca, Morelos
Thumb
Bendera ya Morelos
Thumb
Mahali pa Morelos katika Mexiko

Imepakana na Mexico (jimbo), Mexico (mji), Pueblo na Guerrero. Kunako mwaka wa 2005, idadi ya wakazi ilikuwa 3,115,202. Una eneo la 64,281 km².

Jina la jimbo lilitolewa kwa heshima ya kiongozi wa uhuru wa Mexiko José María Morelos.

Gavana wa jimbo ni Marco Adame Castillo.

Lugha rasmi ni Kihispania.

Remove ads

Miji Mikubwa

  1. Cuernavaca (332,197)
  2. Cuautla (145,482)
  3. Jiutepec (153,704)


Viungo vya Nje



Makala hii kuhusu maeneo ya Mexiko bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Morelos kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads