Alfabeti ya Morse

From Wikipedia, the free encyclopedia

Alfabeti ya Morse
Remove ads

Alfabeti ya Morse (msimbo wa Morse) ni namna ya kuwasilisha herufi, namba au alama nyingine kwa kutumia mahadhi.

Thumb
Alfabeti ya Morse na namba zake.
Thumb
Alfabeti ya Morse bado inatumika kwenye meli na manowari, kwa kutumia taa.

Msimbo wa Morse inatumia nukta na mistari, au alama mbili, moja fupi na nyingine ndefu zaidi.

Alfabeti ya Morse imepata jina lake kutoka Samuel Morse, anayekumbukwa kama mbuni wake. Haitumiwi sana leo kama ilivyokuwa katika karne ya 19 na 20. Tangu karne ya 20 teknolojia tofauti zimechukua nafasi yake.

Kuna aina tofauti za msimbo wa Morse kwa nchi tofauti.

Kuna alama tatu tofauti katika msimbo wa Morse; kuna fupi, kawaida huitwa 'dit', ndefu, inayoitwa 'dah', na kituo. Dah ni ndefu mara tatu kuliko "dit", na kituo huwa na urefu sawa na "dit".

Remove ads

Njia tofauti za kutuma msimbo wa Morse

Msimbo wa Morse unaweza kutumwa kwa njia tofauti. Kwenye meli, taa zinazoangaza mara nyingi zilitumika badala ya mawasiliano ya redio.

Viungo vya Nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads