Nukta
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kwa nukta kama kipimo cha wakati angalia sekunde

(Kama nukta inachorwa inaonekana kama duara ndogo)
Nukta (kutoka Kiarabu نقطة, nuqta; kwa Kiingereza: point) katika elimu ya hisabati na jiografia ni kitu au mahali bila urefu wala upana, yaani bila eneo lolote.
Nukta haina pande wala haiwezi kugawiwa.
Kwa lugha ya jiometria inaweza kuelezwa pia kuwa duara yenye kipenyo cha 0.
Lakini ina mahali panapoweza kutajwa.
Remove ads
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads