Mrungi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mrungi
Remove ads

Mrungi, murungu au mlonge (lakini ni afadhali kutumia jina hilo la mwisho kwa Moringa oleifera) ni kichaka au mti mdogo wa familia Celastraceae.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...

Mrungi hukua kama kichaka au mti mdogo wa urefu wa mita 1-5 na wakati mwingine huweza kufika urefu wa mita 10 penye tabianchi ya ikweta.

Kwa kawaida mmea huo unakua katika mazingira yenye ukame, kwa kiwango cha joto la 5-35°C (41-95°F).

Majani yake ni ya rangi ya kijani, yenye urefu wa sentimeta 5-10 (inchi 2-4) na upana wa sentimeta 1-4 (inchi 0.39-1.6).

Majani na vitawi vyake huitwa miraa na hutafunwa kama kichocheo cha neva.

Remove ads

Picha

Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mrungi kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads